أبرز الأخبار

Ofisi Kuu: Shughuli za Kimataifa za Hizb ut-Tahrir Kuinusuru Gaza!‎

Sehemu ya shughuli za kimataifa zilizoratibiwa na Hizb ut-Tahrir kote ulimwenguni kusaidia na kuomba msaada kwa watu wetu huko Gaza na Palestina yote inayokaliwa kutoka mto wake hadi bahari yake, kufuatia mauaji ya kikatili (mauaji ya kimbari) yanayoendelea kwa miezi 22, yanayofanywa na chombo haramu cha Kiyahudi dhidi ya Waislamu wasio na ulinzi katika Ukanda wa Gaza, ambayo yamesababisha kuuawa, kujeruhiwa na kupotea kwa zaidi ya Waislamu 210,000 hadi sasa.

اقرأ المزيد

Televisheni ya Al Waqiyah: Alisema Mpenzi ﷺ "Usafi ni nusu ya Imani"

Makala Iliyoangaziwa

Pamoja na Qur'ani Tukufu - Sura ya Al-A'raf

Pamoja na Qur'ani Tukufu - Sura ya Al-A'raf

Soma makala kamili